Breaking

Friday, February 16, 2018

AUDIO + LYLICS | Beb bebi - Nyashinski | Mp3 Download

 



 baby am fool for you 
mapenzi kipofu kipenda maovu.huoni 
ooh love is blind never seem so true
 when am broke natumianga bro please call me
 akipiga naomba dooh... 
mbona kuna message inajitumanga send me money
 tukate long story short yoyooo 
vumilia na mm please don't leave me.
 don't let money fool you. sponsors just wanna use you... 
namwambia mtoto wa mama hasiharibikeee 
ananishoo ni biasharaa tuu 
na siwezi mshibishaa na pangangaa tuuu
 na mwezi ukiisha Sina ujanja too 
Na renti ikibishwa huanga blunder to

. Bebi Bebi Bebi Kwani me wakati Sina
. Leo Sina kitu kesho ntafanikiwa 
Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitasahau pahali nimetoka
 na weh Bebi me wakati Sina. 
Leo Sina kesho ntafanikiwa too 
Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitahau nilipotoka na weh

You're my only one Girl I wanna, girl I wanna take you to my mama show her you're the one for me I'll never ever leave you believe me when I say ull forever be my queen
 Yule nalala naye kwa dhiki ntalala naye Kwanzaa faraja Ahadi yangu ndo hiyo
Kama pamoja tumelia, tutacheka pamojaa
Wou vumilia na mimi please don't leave me
Don't let the money fool you Sponsors just wanna use you
 Mtoto wa mama usiharibike.


Bebi Bebi Bebi Kwani me wakati Sina
. Leo Sina kitu kesho ntafanikiwa 
Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitasahau pahali nimetoka
 na weh Bebi me wakati Sina. 
Leo Sina kesho ntafanikiwa too 
Na nikibarikiwa ahadi yangu ni sitahau nilipotoka na weh

No comments:

Post a Comment