Breaking

Thursday, March 15, 2018

LYRICS | Mimi Mars - Papara

 
Nishawahi kuwaza sana na kujua
Kwa nafsi nnachitaji ni mapendo na furaha
Japo nishateswa sana ila na jua ipo siku nitapata mmoja ambaye atanifaa

Zile mara chozi limenitoka
Zile mate hayapiti kama nyoka
Zile siishi kulia lia, machungu kuvumilia
Zile kulizwa lizwa nishachoka
Zile kutumika kama bazooka
Zile mengi nimeshapitia ila moyo ndo umekosaa

Papara sina (sina X2)   X4

Macho yanatamani, nafsi inatamani kuwa na amani yake
Japo sina inamani, moyo unatamani
 kuwa na thamani yake
Ila………………..ila ………

Zile mara chozi limenitoka
Zile mate hayapiti kama nyoka
Zile siishi kulia lia machungu kuvumilia
Zile kulizwa lizwa nishachoka
zile kutumika kama bazooka
Zile mengi nishamepitia ila moyo ndo umekosaa

Papara sina (sina X2)   X4

Najua najua nitakuja kupenda tena
Sina sina sina….
Sina paparaaah..

Lyrics prepared by lucianlui


No comments:

Post a Comment